Maelezo ya Chini
d Mstari huu ungeweza pia kuanza kwa kusema hivi: “Yeye akaanza kukumbuka.” (Isaya 63:11, kielezi-chini katika NW) Hata hivyo, si lazima hiyo imaanishe kwamba Yehova ndiye mwenye kukumbuka. Maneno yanayofuata yanaeleza hisia za watu wa Mungu wala si za Yehova mwenyewe. Hivyo, kichapo Soncino Books of the Bible kinayafasiri maneno hayo hivi: “Ndipo watu Wake wakazikumbuka siku za zamani.”