Maelezo ya Chini
b Akitoa maelezo juu ya mstari huo, Jerome, mtafsiri wa Biblia (aliyezaliwa katika karne ya nne W.K.) anaeleza desturi fulani ya kale iliyofuatwa na waabudu-sanamu siku ya mwisho ya mwezi wa mwisho katika mwaka wao. Aliandika hivi: “Walikuwa wakitandika meza iliyojaa aina-aina za vyakula na kikombe kilichojazwa divai tamu ili kuhakikisha kwamba mazao waliyopata mwaka jana au yale watakayopata mwaka unaokuja yataleta bahati nzuri.”