Maelezo ya Chini
c Kulingana na Isaya 65:16 katika maandishi ya Kimasoreti ya Kiebrania, Yehova ndiye “Mungu wa Ameni.” “Ameni” humaanisha “na iwe hivyo,” au “ni hakika,” na hilo ni neno la kutoa uthibitisho au uhakikisho wa kwamba jambo fulani ni la kweli au ni sharti litimie. Kwa kutimiza ahadi zake zote, Yehova anaonyesha kwamba yale anayoyasema ni ya kweli.