Maelezo ya Chini
a Leo watu wengi katika Jumuiya ya Wakristo wanakataa kulitumia jina la Mungu la kibinafsi, na hata wanaliondoa katika tafsiri nyingi sana za Biblia. Wengine huwadhihaki vikali watu wa Mungu kwa sababu wanatumia jina lake la kibinafsi. Na bado, watu mmoja-mmoja kati yao hujionyesha kuwa wanadini wanaomcha Mungu kwa kutumia neno “Haleluya,” maana yake “Sifuni Yah.”