Maelezo ya Chini
c Uzaliwa unaotajwa hapa kwa njia ya unabii sio ule ule unaoelezwa kwenye Ufunuo 12:1, 2, 5. Katika sura hiyo ya Ufunuo, “mwana, wa kiume,” anafananisha Ufalme wa Kimesiya, ulioanza kazi mwaka wa 1914. Hata hivyo, “mwanamke” wa unabii anayetajwa katika maandiko hayo mawili ni yule yule.