Maelezo ya Chini
b Kwa mfano, Biblia husema juu ya uso, macho, masikio, pua, kinywa, mikono, na miguu ya Mungu. (Zaburi 18:15; 27:8; 44:3; Isaya 60:13; Mathayo 4:4; 1 Petro 3:12) Semi hizo za mfano hazipasi kuchukuliwa kihalisi, kama tusivyoelewa kihalisi semi kama vile Yehova ni “Mwamba” au “ngao.”—Kumbukumbu la Torati 32:4; Zaburi 84:11.