a Yehova alisema hivi kumhusu Yobu: “Hapana mmoja aliye kama yeye duniani.” (Ayubu 1:8) Yaelekea kwamba Yobu aliishi baada ya Yosefu kufa na kabla ya Musa kuteuliwa kuwa kiongozi wa Israeli. Kwa hiyo, ni sahihi kusema kwamba wakati huo hakuwapo mtu mwingine aliyekuwa mwaminifu kama Yobu.