Maelezo ya Chini
a Adamu na Hawa hawangefaidika kutokana na fidia. Sheria ya Musa ilisema hivi kumhusu mwuaji wa kukusudia: “Msipokee fidia kwa ajili ya uhai wa mwuaji, ambaye amekuwa na hatia ya mauti.” (Hesabu 35:31) Ni wazi kwamba Adamu na Hawa walistahili kufa kwa sababu walikataa kimakusudi kumtii Mungu. Hivyo wakapoteza tumaini lao la kuishi milele.