Maelezo ya Chini
a Katika kuonyesha hasira adilifu, Yesu alimwiga Yehova, aliye “mwingi wa hasira” kuelekea uovu wote. (Nahumu 1:2) Kwa mfano, baada ya Yehova kuwaambia watu wake waasi kwamba walikuwa wamefanya nyumba yake kuwa “pango la wanyang’anyi,” alisema hivi: “Hasira yangu na ghadhabu yangu zitamwagwa juu ya mahali hapa.”—Yeremia 7:11, 20.