Maelezo ya Chini
a Tafsiri nyingine husema “usihukumu” na “usilaumu.” Tafsiri hizo humaanisha “usianze kuhukumu” na “usianze kulaumu.” Hata hivyo, waandishi wa Biblia waliandika amri hizo katika njeo ya wakati uliopo ili kuonyesha kitendo kinachoendelea. Kwa hiyo, matendo hayo yalikuwa yakiendelea lakini yalihitaji kukoma kabisa.