Maelezo ya Chini
a “Siri takatifu ya ujitoaji-kimungu” ilifunuliwa pia katika maisha ya Yesu. (1 Timotheo 3:16) Kwa muda mrefu, haikujulikana kama mwanadamu yeyote angeweza kubaki mwaminifu kabisa kwa Yehova. Yesu alijibu suala hilo. Alibaki mwaminifu licha ya majaribu yote ambayo Shetani alimletea.—Mathayo 4:1-11; 27:26-50.