Maelezo ya Chini
a Katika nyakati za Biblia, maseremala walijenga nyumba, walitengeneza fanicha, na vifaa vya kilimo. Justin Martyr, aliyeishi katika karne ya pili W.K., aliandika hivi kumhusu Yesu: “Alikuwa seremala maarufu aliyetengeneza plau na nira alipokuwa duniani.”