Maelezo ya Chini
a Mara nyingi Biblia huhusianisha tumaini la ufufuo na kumbukumbu la Yehova. Yobu aliyekuwa mwaminifu alimwambia Yehova hivi: “Laiti . . . ungeniandikia muda ulioamriwa, na kunikumbuka!” (Ayubu 14:13) Yesu alisema kwamba “wote wale waliomo ndani ya makaburi ya ukumbusho” watafufuliwa. Hilo ni kweli kwa sababu Yehova anawakumbuka kabisa wafu ambao anakusudia kuwafufua.—Yohana 5:28, 29.