Maelezo ya Chini
b Tafsiri fulani zinadokeza kwamba mtu anayegusa watu wa Mungu hagusi jicho la Mungu, bali anagusa jicho lake mwenyewe au jicho la Israeli. Kosa hilo lilitokana na waandishi fulani ambao walidhani kwamba andiko hilo halimheshimu Mungu na hivyo wakalibadili. Jitihada zao zilizopotoka zilificha wingi wa hisia-mwenzi za Yehova.