Maelezo ya Chini
b Kwa kufaa, Biblia inaonyesha kwamba kweli inahusiana na nuru. Mtunga-zaburi aliimba hivi: ‘Niletee nuru yako na kweli yako.’ (Zaburi 43:3) Yehova anawaangazia nuru nyingi ya kiroho wale walio na nia ya kufundishwa au kuelimishwa naye.—2 Wakorintho 4:6; 1 Yohana 1:5.