Maelezo ya Chini
a Hilo halimaanishi kwamba wale wanaokupinga wanaongozwa moja kwa moja na Shetani. Lakini Shetani ndiye mungu wa mfumo huu wa mambo, na ulimwengu wote uko katika nguvu zake. (2 Wakorintho 4:4; 1 Yohana 5:19) Kwa hiyo, tunaweza kutarajia kwamba wengi hawatafurahi kuona ukiishi maisha yanayompendeza Mungu, na baadhi yao watakupinga.