Maelezo ya Chini
a Isaya aliyeishi wakati mmoja na kikundi cha kwanza cha wale manabii 12, na pia Ezekieli aliyeishi wakati mmoja na kikundi cha pili, walionya kuhusu siku ya Yehova.—Isaya 13:6, 9; Ezekieli 7:19; 13:5; ona Sura ya 2 ya kitabu hiki, fungu la 4-6.