Maelezo ya Chini
a Neno la Kigiriki linalotafsiriwa “kielelezo,” linamaanisha “kuandika chini ya maandishi.” Mtume Petro ndiye mwandikaji pekee wa Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo aliyetumia neno hilo ambalo inasemwa kwamba linamaanisha “‘maandishi ya kuiga’ yaliyoandikwa ifaavyo katika kitabu cha kuandikia cha mtoto, ili mtoto afuatishe kwa kadiri awezavyo.”