Maelezo ya Chini
a Kwa mfano, mwanamke huyo anapotaka kujua kwa nini Myahudi anazungumza na Msamaria, anataja ugomvi ambao umekuwako kwa karne nyingi kati ya watu wa jamii hizo mbili. (Yohana 4:9) Pia, anakazia kwamba wao ni wazao wa Yakobo, jambo ambalo Wayahudi wa wakati huo wanapinga vikali. (Yohana 4:12) Wayahudi wanawaita Wasamaria, Wakutha, ili kukazia kwamba wametokana na jamii ya kigeni.