Maelezo ya Chini
b Wakati fulani, nabii Elisha alitoa maagizo kama hayo. Alipokuwa akimtuma mtumishi wake Gehazi kwenye nyumba ya mwanamke aliyefiwa na mwana wake, Elisha alisema: “Ukikutana na yeyote, usimsalimu.” (2 Wafalme 4:29) Mgawo huo ulihitaji kufanywa haraka, kwa hiyo hakupaswa kupoteza wakati.