Maelezo ya Chini
c Kila mwaka, Wayahudi walipaswa kulipa kodi ya hekalu ya drakma mbili, zinazolingana na malipo ya kazi ya siku mbili. Kitabu kimoja kinasema: “Kodi hiyo ilitumiwa kulipia gharama za toleo la kuteketezwa la kila siku na za dhabihu zote zilizotolewa kwa ajili ya watu.”