Maelezo ya Chini
b Hata roho waovu wanaweza kutii kwa kulazimishwa. Pindi fulani, Yesu alipowaamuru roho waovu wawatoke watu, roho hao waovu walilazimika kukubali mamlaka ya Yesu na kumtii, hata ingawa hawakutaka kufanya hivyo.—Marko 1:27; 5:7-13.
b Hata roho waovu wanaweza kutii kwa kulazimishwa. Pindi fulani, Yesu alipowaamuru roho waovu wawatoke watu, roho hao waovu walilazimika kukubali mamlaka ya Yesu na kumtii, hata ingawa hawakutaka kufanya hivyo.—Marko 1:27; 5:7-13.