Maelezo ya Chini
c Wachanganuzi wa Biblia wanasema “haiwezekani kwamba” maandishi ya Kiebrania katika andiko hilo “yanarejelea madhara yanayompata mwanamke peke yake.” Pia, ona kwamba kulingana na Biblia, hukumu ya Yehova haikutegemea umri wa kiini-tete au kijusi.