Maelezo ya Chini
b Katika taifa la Israeli, watu fulani waaminifu walikuwa na wake wengi. Ingawa Yehova hakuanzisha zoea hilo, aliliruhusu, naye alitoa mwongozo ambao ungefuatwa katika ndoa za aina hiyo. Hata hivyo, Wakristo wanajua kwamba Yehova haruhusu tena waabudu wake wawe na wake wengi.—Mathayo 19:9; 1 Timotheo 3:2.