Maelezo ya Chini
b Kwa kutegemea historia na tarehe za Biblia, inaonekana Yesu alizaliwa mwaka wa 2 K.W.K. katika mwezi wa Kiyahudi wa Ethanimu, ambao unalingana na mwezi wa Septemba/Oktoba katika kalenda tunayotumia leo.—Ona Insight on the Scriptures, Buku la 2, ukurasa wa 56-57 au Étude perspicace des Écritures, Buku la 2, ukurasa wa 21, kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova.