Maelezo ya Chini
a Majina ya Shetani (Mpinzani, Mchongezi, Mdanganyifu, Mjaribu, Mwongo) hayadokezi kwamba ana uwezo wa kusoma mioyo na akili zetu. Kwa upande mwingine, Yehova anatajwa kuwa “mchunguzaji wa mioyo,” na Yesu anatajwa kuwa yule ‘anayechunguza figo na mioyo.’—Methali 17:3; Ufunuo 2:23.