Maelezo ya Chini
a Katika sehemu fulani za ulimwengu, watu ambao hawajafunga ndoa wanapoonyeshana mahaba mbele ya watu, hilo huonwa kuwa jambo lisilofaa na lenye kuchukiza. Wakristo wanapaswa kuwa waangalifu wasijiendeshe kwa njia inayoweza kuwakwaza wengine.—2 Wakorintho 6:3.