Maelezo ya Chini
a Watu fulani huamini kwamba Theofilo alikuwa mtu mashuhuri ambaye hakuwa mwamini wakati huo, kwa kuwa katika Injili yake, Luka anamwita “mheshimiwa Theofilo.” (Luka 1:3) Lakini kwa sababu katika kitabu cha Matendo, Luka anamwita, “Ewe Theofilo,” wasomi fulani wanasema kwamba Theofilo alikuja kuwa mwamini baada ya kusoma Injili ya Luka; na ndiyo sababu Luka anaacha kumwita “mheshimiwa” na kumwandikia kama ndugu Mkristo.