Maelezo ya Chini
c Baadaye Paulo alichaguliwa kuwa “mtume kwa mataifa,” lakini hakuhesabiwa kamwe miongoni mwa wale Kumi na Wawili. (Rom. 11:13; 1 Kor. 15:4-8) Kwa kuwa hakuwa mfuasi wa Yesu wakati wa huduma yake hapa duniani, hakustahili pendeleo hilo la pekee.