Maelezo ya Chini
b Hii ndiyo mara ya kwanza kati ya mara 20 hivi ambapo malaika wanatajwa moja kwa moja katika kitabu cha Matendo. Mapema zaidi, andiko la Matendo 1:10 linazungumzia malaika kwa njia isiyo ya moja kwa moja likiwaita ‘wanaume wenye mavazi meupe.’