Maelezo ya Chini
e Yawezekana kwamba wanaume hao walikuwa wametimiza sifa za kustahili kuwa wazee, kwa sababu “kazi [hiyo] muhimu” ilikuwa mgawo mzito. Hata hivyo, Maandiko hayataji wakati hususa ambapo akina ndugu walianza kuwekwa rasmi kutumikia wakiwa wazee au waangalizi katika kutaniko la Kikristo.