Maelezo ya Chini
f Katika karne ya kwanza, wanaume wanaostahili waliruhusiwa kuwaweka rasmi wazee. (Mdo. 14:23; 1 Tim. 5:22; Tito 1:5) Leo, Baraza Linaloongoza huwaweka rasmi waangalizi wa mzunguko, na waangalizi hao wana jukumu la kuwaweka rasmi wazee wa kutaniko na watumishi wa huduma.