Maelezo ya Chini
b Stefano anazungumzia habari ambazo hazipatikani kwingineko katika Biblia. Habari hizo zinatia ndani elimu ambayo Musa alipata alipokuwa Misri, umri aliokuwa nao alipokimbia Misri, na muda aliokaa Midiani.
b Stefano anazungumzia habari ambazo hazipatikani kwingineko katika Biblia. Habari hizo zinatia ndani elimu ambayo Musa alipata alipokuwa Misri, umri aliokuwa nao alipokimbia Misri, na muda aliokaa Midiani.