Maelezo ya Chini
c Chini ya sheria ya Roma, inaelekea kwamba Sanhedrini haikuwa na mamlaka ya kumhukumu mtu kifo. (Yoh. 18:31) Vyovyote vile, inaonekana kwamba Stefano aliuawa na umati uliokuwa na hasira, bali si hukumu ya kifo iliyokuwa ikitekelezwa.