Maelezo ya Chini
b Inaonekana kwamba kwa kawaida wanafunzi wapya walitiwa mafuta, au kupokea roho takatifu walipobatizwa. Baada ya kupokea roho hiyo, wakawa na tumaini la kutawala wakiwa wafalme na makuhani pamoja na Yesu mbinguni. (2 Kor. 1:21, 22; Ufu. 5:9, 10; 20:6) Hata hivyo, katika kisa hiki, Wakristo wapya hawakutiwa mafuta walipobatizwa. Walipokea roho takatifu pamoja na uwezo wa kufanya miujiza walipowekewa mikono na Petro na Yohana.