Maelezo ya Chini
c Huo haukuwa msisimko tu. Kwa kuwa alikuwa Myahudi mgeuzwa imani, tayari alikuwa na ujuzi wa Maandiko, kutia ndani unabii kuhusu Masihi. Baada ya kuelewa jukumu la Yesu katika mpango wa Mungu, hakuna jambo lililomzuia kubatizwa.
c Huo haukuwa msisimko tu. Kwa kuwa alikuwa Myahudi mgeuzwa imani, tayari alikuwa na ujuzi wa Maandiko, kutia ndani unabii kuhusu Masihi. Baada ya kuelewa jukumu la Yesu katika mpango wa Mungu, hakuna jambo lililomzuia kubatizwa.