Maelezo ya Chini
a Kulingana na msomi mmoja, wakati huo kulikuwa na sheria ya Kaisari iliyokataza utabiri wowote kuhusu “kuja kwa mfalme au ufalme mpya, hasa mfalme anayeweza kumwondoa au kumhukumu maliki anayetawala.” Huenda adui za Paulo walifanya ujumbe wa mtume huyo uonekane kana kwamba unakiuka sheria hiyo. Ona sanduku lenye kichwa “Kaisari Wanaotajwa Katika Kitabu cha Matendo.”