Maelezo ya Chini
c Kilima cha Areopago kilikuwa upande wa kaskazini-magharibi mwa Ngome ya Athene, mahali ambapo baraza kuu la Athene lilikutana. Huenda jina “Areopago” lilirejelea baraza hilo au kilima chenyewe. Hivyo, wasomi hawajui kihususa ikiwa Paulo alipelekwa kwenye kilima hicho au karibu na eneo, au mahali pengine ambapo baraza hilo lilikutana, labda sokoni.