Maelezo ya Chini
c Huenda “nguo” zinazotajwa ni vitambaa vya mkononi ambavyo Paulo alijifunga kichwani ili kuzuia jasho lisiingie machoni. Na “vitambaa” alivyojifunga vinadokeza kwamba alikuwa akiendelea na kazi yake ya kutengeneza mahema wakati ambapo hakuwa akihubiri, labda mapema asubuhi.—Mdo. 20:34, 35.