Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

b Agano la tohara halikuwa sehemu ya agano la Kiabrahamu linalotumika mpaka leo. Agano la Kiabrahamu lilianzishwa mwaka wa 1943 K.W.K., wakati ambapo Abrahamu (aliyekuwa akiitwa Abramu), alivuka Mto Efrati akielekea Kanaani. Alikuwa na umri wa miaka 75. Agano la tohara lilianzishwa baadaye, mwaka wa 1919 K.W.K., Abrahamu alipokuwa na umri wa miaka 99.​—Mwa. 12:1-8; 17:1, 9-14; Gal. 3:17.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki