Maelezo ya Chini
e Mwaka wa 49 W.K., mitume na wazee walipokuwa wakijadiliana ikiwa Watu wa Mataifa wanapaswa kushika Sheria ya Musa, baadhi ya Wakristo waliokuwako waliitwa “baadhi ya wale wa madhehebu ya Mafarisayo ambao sasa walikuwa waamini.” (Mdo. 15:5) Inaonekana kwa kiasi fulani waamini hao walikuwa bado wakihusianishwa na asili yao ya Kifarisayo.