Maelezo ya Chini
b Habakuki, Obadia, Danieli, na Ezekieli pia walikuwa manabii katika siku za nabii Yeremia. Jiji la Yerusalemu lilipoharibiwa mwaka wa 607 K.W.K., Yeremia alikuwa amefanya kazi ya kutoa unabii kwa miaka 40 hivi, naye aliendelea kuishi kwa miaka mingine zaidi ya 20.