Maelezo ya Chini
a Yehova alikuwa akizungumza na taifa la kaskazini la Israeli. Watu wa ufalme huo wa makabila kumi walikuwa uhamishoni kwa miaka 100 hivi Yeremia alipotangaza ujumbe huo. Alikiri kwamba hata kufikia siku zake, bado taifa hilo halikuwa limetubu. (2 Fal. 17:16-18, 24, 34, 35) Hata hivyo, watu mmoja-mmoja wangeweza kupata tena kibali cha Mungu, na hata kurudi kutoka uhamishoni.