Maelezo ya Chini
b Ingawa neno “spishi” linatumiwa mara nyingi katika sehemu hii, kumbuka kwamba neno hilo halipatikani katika kitabu cha Biblia cha Mwanzo. Kitabu hicho kinatumia neno “aina” ambalo lina maana pana zaidi. Mara nyingi kile ambacho wanasayansi hukiita spishi mpya ni tofauti ndogo-ndogo katika “aina” zinazozungumziwa katika kitabu cha Biblia cha Mwanzo.