Maelezo ya Chini
a Inapendeza kuona kwamba Ruthu hakutumia tu jina la cheo “Mungu,” kama vile ambavyo watu wengi wa mataifa ya kigeni wangefanya; alitumia jina la kibinafsi la Mungu, Yehova. Kitabu The Interpreter’s Bible kinasema hivi: “Hivyo basi, mwandikaji anakazia kwamba mgeni huyo ni mfuasi wa Mungu wa kweli.”