Maelezo ya Chini
a Ingawa Biblia inasema kwamba Yehova alikuwa ‘amefunga tumbo la uzazi la Hana,’ hilo halithibitishi kuwa Mungu hakupendezwa na mwanamke huyo mwaminifu na mnyenyekevu. (1 Sam. 1:5) Nyakati nyingine Biblia husema Mungu alifanya mambo fulani kwa kuwa tu aliyaruhusu yatendeke kwa muda.