Maelezo ya Chini
a Samweli ndiye aliyemuua Agagi. Mfalme huyo mwovu na familia yake hawakupaswa kuonyeshwa rehema. Karne nyingi baadaye, wazao wa Agagi walitia ndani “Hamani Mwagagi,” ambaye alijaribu kuwaangamiza kabisa watu wa Mungu.—Esta 8:3; ona Sura ya 15 na 16 ya kitabu hiki.