Maelezo ya Chini
a Huo haukuwa Mlima maarufu wa Karmeli uliokuwa mbali upande wa kaskazini ambako baadaye nabii Eliya alikabiliana na manabii wa Baali. (Ona Sura ya 10.) Mji huo wa Karmeli ulikuwa kando ya nyika ya kusini.
a Huo haukuwa Mlima maarufu wa Karmeli uliokuwa mbali upande wa kaskazini ambako baadaye nabii Eliya alikabiliana na manabii wa Baali. (Ona Sura ya 10.) Mji huo wa Karmeli ulikuwa kando ya nyika ya kusini.