Maelezo ya Chini
c Kihalisi, maneno ambayo yule kijana alitumia yanamaanisha “mwana wa beliali (asiyefaa kitu).” Biblia nyingine zinapotafsiri maneno hayo zinamfafanua Nabali kuwa mtu ambaye “hakumsikiliza yeyote,” na kumalizia kwa kusema, “hakuna haja ya kuzungumza naye.”