Maelezo ya Chini
c Inapendeza kwamba Eliya aliwaambia: “Msiwashe moto” ili kuteketeza dhabihu. Wasomi fulani wanasema nyakati nyingine waabudu hao wa sanamu walitumia madhabahu yaliyokuwa na mwanya uliofichika chini ili ionekane kwamba moto uliwaka kimuujiza.